UAPISHO :KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ALLY GUGU AAPISHWA
sematv0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Ndugu, Ally Senga Gugu kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo Ndani ya Nchi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 17 Machi, 2024
Post a Comment