WACHEZAJI KUTOKA KATOTO TENNIS ACADEMY WANG'ARA KWENYE MASHINDANO YA TENNIS DODOMA


 Shule ya Feza kushirikiana na Katoto Tennis academy wameandaa mashindano ya tennis yaliyoshirikisha  Shule tano  ,yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya FEZA SCHOOL Jijini Dodoma ,mashindano ya watoto kati miaka 8 hadi 13 ,shule zilizoshiriki ni Feza,Martin luther,Tumain foundation,Cannon  Andrea mwaka na St.Ignatius

Shule ya Martin Luther waliibuka Washindi wa Kwanza kwenye mashindano hayo.

Post a Comment

Previous Post Next Post