SIMBA YASHIRIKI UZINDUZI WA SAFARI NA AIR TANZANIA KWENDA MTWARA

 


Tukiwa safarini kuelekea Ruangwa, Lindi tumeshiriki uzinduzi wa safari za Shirika la Ndege la Air Tanzania kwenda mkoani Mtwara.


Uzinduzi umeongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara.



Post a Comment

Previous Post Next Post