Home Afcon 2023 Mshindi Wa Tatu Apatikana sematv February 11, 2024 0 Afrika Kusini wanamaliza michuano ya AFCON 2023 kwa kuwa Washindi wa tatu baada ya dakika 90 kumalizika mikwaju ya penati ilitumika kutafuta mshindi ambapo Afrika Kusini wakashinda kwa penati 6-5. You Might Like
Post a Comment