Katibu Mkuu Nchimbi Awasili Ofisini Zanzibar



 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwasili Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, iliyopo Kisiwandui, Unguja, leo Jumanne, Januari 16, 2024, tayari kuendelea na kazi, siku moja baada ya kuteuliwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kushika nafasi hiyo ya Mtendaji Mkuu wa Chama, ambapo baada ya kukaribishwa na Manaibu Katibu Mkuu, Ndugu Anamringi Macha (Bara) na Ndugu Mohammed Said Mohammed Dimwa (Zanzibar) na kutia saini, ameendesha Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, iliyofanyika ofisini hapo.



Post a Comment

Previous Post Next Post