Rais Wa Jamhuli Ya Muungano Wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan Amefanya Uteuzi Wa viongozi na kuvunja bodi ya Mamlaka ya mawasiliano tanzania [TCRA] ikiwa ni takribani mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo kwa mujibu taarifa ya kurugenzi ya mawasiliano ikulu.
Rais Amefanya uteuzi kuanzia Novemba 7,2023 Kama ifuatavyo..

Post a Comment