Wakaazi wa Jji la Dodoma wamepata sehemu sahihi ya kufanya michezo mbalimbali wakiwa na familia zao baada ya uzinduzi wa Viwanja vya Tennis na michezo mbalimbali vilivyoko Njedengwa Investment vilivyopewa jina KATOTO SPORTS CENTER,Viwanja hivyo ambavyo unaweza kwenda na familia Yako na kushiriki michezo kama mpira wa miguu ,Tennis ,basketball,bwawa la kuogelea kwa watoto pia mtoto anaweza kujifunza karate na table tennis Kuna makocha mahiri wa kufundisha michezo hiyo kutakuwa na sehemu ya kupata viburudisho ambavyo havina kilevi kwa washiriki ,ni sehemu sahihi ambayo kwa kipindi Cha likizo kwa wanafunzi kujifunza michezo mbalimbali
Viwanja hivi vinauwezo wa kubeba watoto 500 kwa wakati mmoja vinafaa kwa mashule kufanyia mashindano mbalimbali ya mashule .































Post a Comment