RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA NNE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JAKAYA KIKWETE LEO JULAI 6,2024 AMETEMBELEA BANDA LA TANESCO KWENYE MAONESHO YA 48 YA KIMATAIFA YA BIASHARA SABASABA.


NA Richard Mrusha 



Amesema kuwa Shirika la  Umeme Tanzania (Tanesco) linatakiwa kuzingatia na kuhakikisha kuwa huduma ya umeme inapatikana.


Rais huyo mstaafu amelipongeza Shirika hilo kwa usambazaji wa umeme kwani mpaka hivi sasa kila eneo la nchi limeungwa na huduma ya umeme.

Post a Comment

Previous Post Next Post