NAIBU WAZIRI PINDA ATEMBELEA UJENZI WA CHUO CHA ARDHI MOROGORO

 


 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Geophrey Pinda, ametaka mradi wa ujenzi wa Chuo cha Ardhi Morogoro unaojumuisha eneo mahali chuo kilipo na eneo la mlima Kola, kuwekewa nguvu ili uweze kukamilika kabla ya muda uliopangwa.


Mhe.Pinda ametoa kauli hiyo leo wakati alipokwenda kukagua eneo la ujenzi wa mradi huo katika eneo la mlima Kola mkoani Morogoro.



Post a Comment

Previous Post Next Post