SPIKA DKT.TULIA AWATEMBELEA WASHABIKI WA SIMBA WALIOPATA AJALI



 Spika wa Bunge Dkt.Tulia akiambatana na Mbunge wa chalinze Ridhiwani Kikwete wamewatembelea na kiwajulia Hali mashabiki wa Simba Waliopata ajali wakati wakielekea jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuishangilia timu yao kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya AlAhly waliolazwa Hospital ya Wilaya ya Chalinze 

Pamoja na mambo mengine ,Dkt Tulia ametoa michango wa majeneza mawili kwa ajili ya kuwahifadhi marehemu wa ajali hiyo Pamoja na Kutoa michango wa shilingi million 2 kwa ajili ya kuwasidia majeruhi hao.



Post a Comment

Previous Post Next Post