Home Lowasa Afariki Dunia sematv February 10, 2024 0 Lowassa amefariki baada ya kuugua magonjwa ya kujikunja utumbo, matatizo ya mapafu na shinikizo la damu.Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa afariki dunia.Taarifa imetolewa na Makamu wa Rais Dkt.Philip Mpango. You Might Like
Post a Comment