Katibu Mkuu Maganga Akutana Na Mfuko Wa Kukabiliana Na Mabadiliko Ya Tabianchi


 Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Mary Maganga akizungumza na Ujumbe wa Mfuko wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (GCF)ukiongozwa na Meneja wa GCF Kanda ya Afrika Bi. Chihenyo Kangara katika  kikao kilichofanyika ofisi ndogo ya Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Mary Maganga akizungumza na Meneja wa Mfuko wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (GCF)Kanda ya Afrika Bi. Chihenyo Kangara mara baada ya  kikao kilichofanyika ofisi ndogo ya Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam.



Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Mary Maganga akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Mfuko wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (GCF) pamoja na wataalamu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais mara baada ya kikao kilichofanyika ofisi ndogo ya Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam.

 


Post a Comment

Previous Post Next Post