Ofisi Ya Taifa Ya Mashtaka Wapata Msiba Mzito

 


*Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu* akisaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Joseph Pande Jijini Dodoma tarehe 22 Desemba, 2023


*Kaimu Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bi. Javelin Rugaihuruza* akisaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Joseph Pande Jijini Dodoma tarehe 22 Desemba, 2023.






Baadhi ya Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka pamoja na waombolezaji wengine wakisaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Joseph Pande Jijini Dodoma tarehe 22 Desemba, 2023.







Post a Comment

Previous Post Next Post