Tabia za Kanye West Za Sababisha Wakwe Kumkataa.

 Rapa Kutoka Nchini Marekani KANYE WEST  Anadaiwa kutengana na mkewe anayeitwa BIANCA CENSORI baada ya familia ya Bianca kuomba mrembo huyo aachane na kanye kutokana na tabia zake.



Familia ya Bianca imekuwa ikilalamika jinsi kanye anavyoishi na mrembo huyo ambapo baada ya kuolewa tu Bianca maisha yake yalibadilika muonekabo na hata mavazi jambo ambalo familia yake hawakubaliani nalo. ''kwa mujibu wa Daily Mail inael''

kwa mujibu wa Daily Mail Inael inaeleza kuwa marafiki na familia ya Bianca kwa pamoja wamekuwa wakimlazimisha amuache kanye na adai talaka kwani amekuwa akimpangia hadi vyakula vya kula

Kanye mwenye umri wa miaka 46 alimuoa Bianca Disemba 2022 mwezi mmoja tu baada ya taratibu za talaka ya kanye na aliyekuwa mkewe Kim Kardashian Kukamilika.


Post a Comment

Previous Post Next Post